Je kuokoka katika dunia kunakutosha

swahili.chatanddecide.com

Unaweza kupona kutokana na matatizo ya kifedha au kiafya, lakini wokovu mkubwa ni kutoka katika adhabu ya Akhera. Allah amesema: "atakaye epushwa na kuwekwa mbali na Moto na akaingizwa Peponi basi huyo amefanikiwa"[Al-'Imran:185].

Uislamu unaweka mbele yako lengo la kweli: kupata radhi ya Allah na Pepo yake, si kuridhika na mafanikio ya kidunia yanayopita.

#Ushindi_wa_Kweli

Shiriki: