kitabu hiki kilichofukizwa uturi wa kupendeza, kwa moshi wa kupuliza, ni tafsiri ya kitabu kiitwacho 'Mukhtasari Sharh Arkaanul-Islaam'. Asili ya kitabu chenyewe kimeandikwa katika Lugha ya Kiarabu, nami nikakifasiri tu, wala sikutia langu neno.
kitabu hiki kilichofukizwa uturi wa kupendeza, kwa moshi wa kupuliza, ni tafsiri ya kitabu kiitwacho 'Mukhtasari Sharh Arkaanul-Islaam'. Asili ya kitabu chenyewe kimeandikwa katika Lugha ya Kiarabu, nami nikakifasiri tu, wala sikutia langu neno.