Swali Kuu Nani aliyetuumba

swahili.chatanddecide.com
Shiriki:

Mara kwa mara, binadamu hujiuliza maswali ya msingi ya maisha. Kama vile: “Nani aliyetuumba?”, “Kwa nini tupo hapa duniani?” 
 Wasiomwamini Mungu hudai kuwa kila kitu kilitokana na mlipuko mkubwa (Big Bang) au mageuzi (evolution). Wengine huamini kuwa kuna Muumba. Wapo pia wanaosema “sijui” – hawa si kwamba wanamkana Mungu, bali hawana maarifa ya kutosha.