UISLAMU NI NINI

The Dawah, Guidance, and Community Awareness Association in Zulfi
Shiriki:

Sasa basi Uislamu ni nini?? Neno uislamu katika lugha ya kiarabu lina maana ya kujisalimisha na kunyenyekea. 

Ama neno hili kisheria ina maana ya :- 

1- Kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu kwa kumpwekesha kwa ibada zote. 

2- Na kumnyenyekea kwve kumtil 

3- Na kujitenga mbali kabisa na ushirikina na washirikina.