Misingi mitatu na ahidi wake

Muhammad bin Abdul-Wahhab
Shiriki:

Mambo ya wajibu kwa muislamu kujifunza:

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye kurehemu.


Tambua akurehemu Mwenyezi Mungu, yakwamba ni wajibu kwetu kujifunza mambo manne.  


(La kwanza) Ni Elimu: Nayo ni kumfahamu Mwenyezi Mungu, Na kumfahamu Nabii wake, na kuifahamu dini ya uislamu kwa ushahidi.